Kiungo cha kati Abdulhalim Humud,amesema kuwa udhaifu wa mabeki wa Tanzania kumkaba Tambwe na kuwaacha wengine, utawamaliza.
Akiandika katika akaunti yake ya facebook, humud alisema"Mabeki wengi wa sasa,wanawaza jinsi ya kumzuia Tambwe,wamesahau kuwa Simba ya sasa inacheza samba kama la Brazil,ukimzuia huyu yule anakuumiza,(pole niyonzima)" aliongeza
No comments:
Post a Comment