Kikosi cha Simba Sc Leo kinatarajiwa kuwavaa wakata miwa wa Mtibwa ya Morogoro katika mechi ya kwanza ya michuano ya kombe la Mapinduzi .
Mechi hiyo ambayo itakayopigwa saa 2.16 usiku,inasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa pande zote mbili .
Ikumbukwe kuwa, Simba Sc imemsitishia mkataba wake kocha wake wa zamani Patrick Phiri kutokana na muenendo mbovu wa timu.
No comments:
Post a Comment