Timu hiyo ya mtaa wa msimbazi, inalazimika kupigana kufa au kupona katika mchezo wa leo ili iweze kuibuka na points zote tatu na kuendeleza imani kwa mashabiki wake ambao wana hamu ya kuiona timu yao ikinyakua taji la ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara msimu huu.
Simba leo inatarajiwa kuanza na kikosi kifuatacho
1.Abel Dhaira
2.Willium Lucian Gallas
3.Idrissa Rashid Baba ubaya
4.Gilbert Kaze
5.Joseph Owino
6.Jonas Mkude
7.Ramadhan Singano Messi
8.Said Ndemla
9.Amissi Tambwe
10.Bentram Mombeki
11.Zahoro Pazi
No comments:
Post a Comment