Juma ambaye mashabiki wa Simba walitegemea angalau angerudi katika Klabu Yao baada ya kuyumba kwa upande wa kipa wa timu, italazimika kufanya kazi ya ziada ili kuimarisha nafasi ya kipa ambayo ilichukuliwa na Andrew Ntalla baada ya Juma kushindwa kusaini mkataba mpya.
No comments:
Post a Comment