Habari za uhakika ndani ya Klabu ya Simba sc, zinasema kuwa uamuzi huo unatokana na udhaifu alioonesha kipa huyo pia kanuni mpya za ligi kuu Tanzania bara zinazotaka wachezaji watatu tu wa kigeni ambao wanaweza kusajiliwa kwa timu mojawapo Kati ya zile zinazoshiriki ligi kuu Tanzania bara.
Wakati Hali ya kipa Dhaira ikiendelea kuwa na utata, goli kipa mwingine aliyesajiliwa kwa mbwembwe ili kuziba nafasi ya Juma Kaseja ambaye alimaliza mkataba wake Andrew Ntalla ameomba kuondoka katika Klabu hiyo baada ya kutoonesha Kiwango kisichoridhisha.
No comments:
Post a Comment