Viwanja vilivyokumbwa na rungu hilo ni Kaitaba wa mjini Bukoba,Mkwakwani wa jijini Tanga,Sokoine wa jijini Mbeya,Amri Abeid wa jijini Arusha,Ally Hassan Mwinyi wa Tabora, na Jamhuri wa mkoani Dodoma.
Wakati Huohuo, michuano ya Kombe la Uhai linaloshirikisha timu za pili za ligi kuu Tanzania bara inaanza kutimua vumbi tarehe 17 ya mwezi huu.
No comments:
Post a Comment