Blog hii ilifika katika uwanja wa taifa katika kushuhudia mechi Kati ya Simba na Ashanti na kukuta uchafu mwingi vyooni, Hali inayoonekana kuwa haujasafishwa kwa zaidi ya mwezi mmoja uliopita.
Katika upande wa pitch ( Nyasi) , Blog hii ilishuhudia nyasi dhaifu na zilizochoka katika uwanja huo, Kana kwamba uwanja huo umejengwa zaidi ya miaka 50 iliyopita.
No comments:
Post a Comment