Awali ya hapo, mahakama iliwaambia watuhumiwa hao 11 kuwa kila mmoja apeleke pesa kiasi cha Sh 900000/= za Tanzania pamoja na mdhamini mwenye Mali isiyohamishika, Hali hiyo ilipelekea wanachama hao kutojua la kufanya Huku wakisema kuwa mdhamini mwenye Mali isiyohamishika ni ngumu kuwapata, baada ya majidiliano ya Muda mrefu, Klabu ya Simba ilihamua kutoa moja ya hati ya majengo yake inayomiliki mtaa wa Msimbazi, yenye gharama ya zaidi Billioni moja Hali iliyopelekea kuachiwa huru kwa Muda huku kesi Yao ya Msingi ikiendelea!
No comments:
Post a Comment