Katika mechi hiyo itakayochezwa uwanja wa mkwakwani, Kikosi hicho cha kocha Zdravko Lugarusic kitalazimika kucheza kufa au kupona ili kuweza kupata points tatu muhimu , baada ya Jana kuacha points mbili katika uwanja wa Jamhuri,.
Simba. Jana ililazimishwa sare na Mtibwa Sugar, baada ya kuwa nyuma kwa goli 1-0 kwa takriban dakika 40, baada ya Mussa Hassan Mgosi, kuitikisa Ngome ya ulinzi ya Simba Sc mnamo dakika ya 9 tu ya mchezo huu,.
No comments:
Post a Comment