Mshambuliaji wa timu ya Simba SC Zahoro Pazi amepata maumivu makali baada ya kugongana na beki Haruna Shamte katika uwanja wa kinesi,.
Zahoro ameumia muda mfupi baada ya Simba kushuhudia urejeo wa makinda ya ajabu Abdallah Seseme na Ibrahim Twaha.
Ikumbukwe kuwa, Simba Sc itabaki kuwa na washambuliaji pekee wawili wa kutumainiwa ambao ni Amissi Tambwe na Bentram Mombeki.
No comments:
Post a Comment