Hali ya meneja wa Simba B , patrick Rweyemamu inazidi kutengemaa baada ya kuumia vibaya katika mazoezi aliyokuwa anafanya wiki moja iliyopita.
Akiongea kwa uchangamfu baada ya kutembelewa na Dr wa mifupa , Dr Mwamba pichani juu kulia, Paty alisema mashabiki na wanachama wa Simba wasiwe na wasi kwani hali yake inaendelea vozuri!!!
No comments:
Post a Comment