ASASH GENERAL TRADERS

ASASH GENERAL TRADERS

Friday, August 15, 2014

TANZANIA WENYEJI MICHEZO YA MAJESHI

0114
Mkuu wa Bregedi ya Nyuki ambae ni Makamo Mwenyekiti wa michezo ya Majeshi Bregedia Jenerali Sharif Sheikh Othman akizungumza na waandishi wa habari kuhusu michezo ya nane ya Majeshi ya Jumuia ya Afrika Mashariki. Mkuta huo umefanyika huko Bregedi ya Nyuki Migombani Zanzibar.
02
03
Waandishi wa Habari kutoka vyombo tofauti wakimsikiliza Bregedia Jenerali Sharif Sheikh Othman (hayupo pichani) katika Mkutano wake na wandishi leo.
04
05
Mkurugenzi wa ufundi wa mashindano hayo upande (JWTZ) Luteni  Kanali Joseph Bakari akitoa ufafanuzi wa Michezo hiyo.
06
Mmoja wa uwanja utakaotumika katika mashinda hayo, uliopo Bregedi ya Nyuki Migombani nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

No comments:

Post a Comment