Kikosi cha timu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam siku ya jumapili kitawavaa maafande wa jeshi la Prisons wa mkoani mbeya katika uwanja wa sokoine jijini humo.
Prisons ambayo imeonesha uwezo wa hali ya juu katika raundi hii ya pili, inawavaa Simba Sc iliyo katika hali ngumu huku nayo ikihataji zaidi ushindi kujiweka vizuri katika raundi hii ya lala salama.
No comments:
Post a Comment