Beki aliyewahi kucheza pamoja na Victor Costa nyumba anayefahamika kwa jina la Kika M, ameanza trial rasmi ya kujaribu Bahati yake ya kujiunga na Simba.
Kika , mwenye umri wa miaka 22 ameanza mazoezi rasmi Leo chini ya kocha mpya wa Simba Sc, Zdravko Lugarusic akisaidiwa na msaidizi wake Selemani Matola!
No comments:
Post a Comment