Akiongea na blog hii , daktari wa Simba Bw Yassin Gembe, amesema kuwa ameamua kumuanzisha aanze mazoezi ya kukimbia beach , ili mwili wake ukae vizuri zaidi kabla ya kujiunga na wenzake.
Seseme ambaye alikuwa kipenzi cha kocha aliyepita , Patrick Leiwig alikumbwa na mkasa wa kuwa maheruhi kwa nusu msimu yote ya mwaka huu, baada ya kuumia akiwa katika maandalizi ya ligi soka Tanzania bara msimu huu.
No comments:
Post a Comment