Katika michuano hiyo inayotazamiwa kuanza jan 2, timu hiyo ya Mitaa ya Msimbazi pia imepangwa na timu nyingine ngumu kutoka Uganda ya Kcc katika draw iliyopangwa Jana.
Makundi katika michuano hayo ni Kama ifuatavyo
GROUP A
Tusker(Kenya)
Azam(Tanzania)
Yanga(Tanzania)
Zanzibar team
GROUP B
Gormahia(Kenya)
Simba ( Tanzania)
Kcc(Uganda)
Zanzibar team
GROUP C
Mbeya City (Tanzania )
URA (Uganda )
Zanzibar team
Note;
Zanzibar team ni timu itakayotajwa hapo baadae kutoka katika visiwa hivyo.
No comments:
Post a Comment