Owino ambaye ni kipenzi cha mashabiki wa Simba Sc, aliingia katika mzozo na mwalimu Lugarusic baada ya kutokea kutoelewana baina Yao.
Wakati Huohuo , kikosi cha Wekundu wa Msimbazi ( The Reds) , wameanza mazoezi rasmi Leo baada ya mapumziko ya siku moja .
Katika mazoezi yaliyofanyika Leo katika uwanja wa Kinesi, Simba Sc ilishuhudia urejeo wa kiungo wake maridhawa Jonas Mkude ambaye alikuwa anasumbuliwa na Malaria.
No comments:
Post a Comment