ASASH GENERAL TRADERS
Pages
NEWS
HOME
SIMBA SC
SIMBA B
SIMBA C
SPS TEAM
CONTACT US
ENTERTAINMENT
JERSEY
Thursday, January 30, 2014
SAMATTA MCHEZAJI BORA TP MAZEMBE 2013
Mshambuliaji wa Tp Mazembe Mbwana Ally Samatta amechaguliwa kuwa mwanasoka bora wa Klabu hiyo kwa mwaka 2013.
Samatta maarufu Kama Samagoal, anakuwa mtanzania wa kwanza kuwa mchezaji bora anayechezea nje ya Tanzania.
Kabla ya kujiunga na Tp Mazembe , Mbwana Ally Samatta alikuwa mshambuliaji tegemeo wa Simba Sc na timu ya taifa ya Tanzania.
Hongera Samatta!
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment