Katika mchezo huo wa kusisimua wa Leo, kikosi hicho cha Msimbazi kitashuhudia kuwakosa wachezaji wawili wa kikosi cha kwanza wenye matatizo mbali mbali.
Wachezaji wanaotegemewa kukosekana Leo ni Jonas Gerrald Mkude ambaye ana kadi tatu za njano, wakati Joseph Owino amepumzishwa kwa sababu maalum.
No comments:
Post a Comment