Kiraka huyo wa Msimbazi, ameamua kuanza mazoezi mapema ili aweze kuendana na kasi ya ligi inayotegemewa kuanza mwezi Januari.
Wakati huo huo, Basi la timu ya Simba aina ya Youtong limekamatwa na Kampuni ya MEM kwa Madai ya kudaiwa zaidi ya milioni 35.
No comments:
Post a Comment