Kocha huyo raia wa Croatia , anatarajiwa kusaini mkataba wa Miezi Sita ili kukifundisha kikosi cha Wekundu wa Msimbazi.
Kabla ya kutua Simba, Lugarusic aliwahi kukinoa kikosi cha Gormahia ya Kenya , na kukiwezesha kuchukua Kombe la ligi kuu nchini humo,.
No comments:
Post a Comment