Timu hiyo kutoka Mitaa ya Msimbazi, inatarajiwa kuwa chini ya kocha msaidizi Selemani Matola ( Veron) ambaye amepewa kibarua hicho baada ya kusimamishwa kwa makocha wa zamani wa timu hiyo, Abdallah Kibaden na mwenzake Jamhuri Kihwelo Julio, kutokana na Mwenendo mbovu wa timu hiyo katika mzunguko wa kwanza wa ligi kuu Tanzania bara.
No comments:
Post a Comment