Kinda hilo lililojizolea umaarufu baada ya kufanya kazi safi katika michuano ya benki ya ABC BAnc, anatazamiwa kuondoka Leo na boti ya saa 6. 00 mchana kuelekea visiwani humo kukiongezea nguvu kikosi cha Simba kinachojiwinda na michuano ya Mapinduzi itakayofanyika visiwani humo.
Wakati Huohuo , wachezaji wapya waliokuwa wamesajiliwa msimu huu wameungana tayari na wenzao kukamilisha kikosi kazi kitakachotoa adhabu kali kwa watani wao Yanga siku ya jumamosi!
No comments:
Post a Comment