ASASH GENERAL TRADERS

ASASH GENERAL TRADERS

Sunday, February 23, 2014

SIMBA KUWAVAA JKT RUVU LEO

Kikosi cha Simba SC,kinaingia katika mtihani mgumu leo hii pale itakapowakaribisha maafande wa JKT ruvu katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.

Ikitoka kulazimishwa sare na timu inayokuja kwa kwa kasi ya MBEYA CITY, Simba inahitaji ushindi tu ili iendelee kuwemo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara.
Ikumbukwe timu hiyo inayosifika kwa soka la kasi na pasi fupi fupi,inaingia katika uwanja wa taifa huku ikiwakosa nyota wake Ramadhan Singano mwenye kadi tatu za njano na Harun Chanongo aliye majeruhi.

No comments:

Post a Comment