Timu ya Simba SC,leo imedhihirisha kuwa haina mpango wa ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara,baada ya kukubali kichapo kitakatifu cha goli 3-2 kutoka kwa maafande wa JKT Ruvu.
Ikicheza bila ya nyota wake Ramadhan Singano Messi,Simba ilicheza mpira dhaifu ambao ulikuwa hauna ufundi wowote.
Shukrani kwa mshambuliaji raia wa Burundi Amissi Tambwe kwa kufunga goli mbili leo hii!
No comments:
Post a Comment