ASASH GENERAL TRADERS

ASASH GENERAL TRADERS

Sunday, December 28, 2014

MBEYA CITY YAINYOOSHA NDANDA

Baada ya kuboronga katika mechi saba za mwanzo za Ligi Kuu Bara, kikosi cha Mbeya City kimerejea na kupata ushindi.


Ikiwa nyumbani Sokoine, Mbeya City imeifunga  Ndanda FC kwa bao 1-0.

Bao lililofungwa dakika ya 3 tu na Deus Kaseke lilidumu hadi mwisho wa mchezo.

No comments:

Post a Comment