Kikosi cha Simba Sc leo kimedhihirisha ubora wake baada Ya kutinga fainali katika michuano Ya kombe la Mapinduzi .
Shukrani za kipekee kwa goli la Ramadhan Singano, ambalo limeivusha timu hiyo Na kwenda kukutana Na Mtibwa Sugar.
Wakati huo huo , kiungo wa Simba Sc Emanuel Okwi tayari yuko visiwani ZANZIBAR, kujiwinda Na pambano la fainali!
No comments:
Post a Comment