Habari za uhakika tulizozipata hivi punde zinasema kuwa, Lengo la kuandaa watu hao ni kuhakikisha wanakwenda a Airport kumpokea ili kucheza na akili za watu ionekane kwamba anakubalika.
Rage, alisimamishwa juzi na kamati ya utendaji ya Simba kwa kuonekana dhahiri ameshindwa kufanya kazi zake vizuri ambazo ilitakiwa afanye Huku akizembea na kuzidisha msuguano baina yake na wanachama, pia na kamati ya utendaji.
No comments:
Post a Comment