Mechi hiyo inayosubiriwa kwa hamu , inakuja baada ya KIKOSI hicho kushusha dhahama nzito kwa Wanajeshi wengine wa Mgambo.
Hapo Jana, timu hiyo inayofundishwa na nahodha wa zamani wa Simba , Selemani Matola, iliivurumisha timu ya Mgambo Jkt kwa jumla ya goli 5-0.
No comments:
Post a Comment