Majira ya saa 6 za mchana, Issa Masharubu ambae ni mmoja wa makomando wa Simba , alipitia katika Baadhi ya matawi ya jijini Dar Es salaam , lengo ni kupata watu atakaoweza kuongozana na katika uwanja mkuu wa ndege wa Jijini Dar Es Salaam
Saa1.30 usiku, Bw Rage alitua Toka kwenye ndege ambapo moja kwa moja aliendelea kujitangaza kuwa yeye ni mwenyekiti wa Simba Sc, Mwenyekiti huyo ambaye katika Muda wa Uongozi wake anapitia misukosuko mingi, Amesema kuwa Leo majira ya saa 7.00 mchana ataongea na waandishi wa habari katika jengo la Klabu ya a Simba.
No comments:
Post a Comment