Kinda lenye kasi ya aina yake Msimbazi Ibrahim Twaha Messi, anatarajia kurudi rasmi dimbani mwezi January
Kiungo hicho cha Simba Sc kilichosajiliwa Toka Coastal Union ya Tanga aliumia katika mazoezi ya timu hiyo, yaliyokuwa yakifanyika Bamba Beach.
Kurejea kwa mchezaji huyo kutapunguza idadi ya majeruhi waliokuwa Msimbazi kwa sasa, ambao ni Miraji Adam na Abdallah Seseme ambao Hali zao zinaridhisha!
No comments:
Post a Comment