Ilikuwa dakika ya 57, pale kiungo huyo alipoonesha ubora wake katika kikosi hicho kinachonolewa na kocha raia wa Denmark Kim Paulsen.
Kiujumla timu ya Taifa ya Tanganyika, haijainesha kitu chochote kipya Kwani ilicheza mpira mbovu zaidi katika kipindi cha kwanza.
Stars itabidi imshukuru refarii Kwani dakika ya 72, penati ya wazi iliyopaswa kutolewa na refarii, iliota mbawa.
No comments:
Post a Comment