Simba
Platinum Supporters imeanza kutoa kadi za uanachama wa SPS kwa
wanaSimba wote bila kujali itikadi za kimatawi...lengo ni kuunganisha
wadau wote kuwa sehemu moja ya Simba SC.
SPS inaundwa kwa ajili ya kuonesha kwa uwazi kile ulichonacho kwa ajili ya timu yetu pendwa...ikumbukwe kuwa Simba SC inakuhitaji sana wewe kuliko wewe unavyoihitaji katika nyanja tofauti.
VIGEZO
Uwe mwanachama/mdau/mshabiki na mkereketwa wa Simba SC
Uwe na umri wa miaka kuanzia 18
Uwe na akili timamu
uwe na wadhamini wawili toka SPS TEAM
Ada ya kuingilia pamoja na kadi ni 15000/=
Pia tumeanza kuandikisha wadau mbali mbali na tunaendelea kuandikisha ili kuweza kupata kadi za Simba SC ikiwa na malengo ya kuongeza idadi ya wanachama kufikia 50000,
kwa maelezo zaidi piga 0767460011 au 0714222345
NGUVU MOJA
SPS inaundwa kwa ajili ya kuonesha kwa uwazi kile ulichonacho kwa ajili ya timu yetu pendwa...ikumbukwe kuwa Simba SC inakuhitaji sana wewe kuliko wewe unavyoihitaji katika nyanja tofauti.
VIGEZO
Uwe mwanachama/mdau/mshabiki na mkereketwa wa Simba SC
Uwe na umri wa miaka kuanzia 18
Uwe na akili timamu
uwe na wadhamini wawili toka SPS TEAM
Ada ya kuingilia pamoja na kadi ni 15000/=
Pia tumeanza kuandikisha wadau mbali mbali na tunaendelea kuandikisha ili kuweza kupata kadi za Simba SC ikiwa na malengo ya kuongeza idadi ya wanachama kufikia 50000,
kwa maelezo zaidi piga 0767460011 au 0714222345
NGUVU MOJA
No comments:
Post a Comment